Ungana nami ujionee picha, habari mbalimbali kutoka hapa nchini na nje ya nchi pia.
Alhamisi, 14 Novemba 2013
Mchina ndani ya bongo movie ,ajitosa kwenye filamu mpya ya Dr Cheni 'Nimekubali Kuolewa'
Muigizaji Dr Cheni baada ya kumtambulisha Steven shabiki wa club ya Yanga kwamba yupo kwenye movie yake mpya ya ‘nimekubali kuolewa’ itayotoka hivi karibuni, sasa hivi Cheni amemtambulisha raia mmoja wa China ambae ameigiza kwenye hii movie.
Itazame hii video hapa Dr Cheni akijibizana na mchina huyo baada ya kumfumania na mke wake gestihttp://www.youtube.com/watch?v=699gzlbrV2o
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.