TEMBELEA

www.deoamon.blogspot.com

Jumatano, 30 Oktoba 2013

VIONGOZI WA KESHO

Viongozi  walioshinda  kinyang'anyiro  cha  urais  na  makamu  wa  rais  katika  chuo  cha  Dar  es  salaam city  college,  Mh, Rais  Mathias  Canal  (kulia)  na  Mh, Makamu  wa  rais  ,Mathias  Haule.  katika  picha  ya pamoja  mara  baada  ya  matokeo  kutangazwa  na  mwenyekiti  wa  tume  ya  uchaguzi  , Ndugu, Mussa Mosses.
     Picha  na , deoamon.blogspot.com

Maoni 1 :

Unknown alisema ...

je! umewaonaje viongozi wako wapya ewe mwana DACICO?

Chapisha Maoni

Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.