TEMBELEA

www.deoamon.blogspot.com

Jumatatu, 11 Novemba 2013

KIPIGO CHA ARSENAL CHA 1-0 KUTOKA KWA MAN U , KILIO LONDON

      

                                                   Arsene  Wenger.  (kocha wa Arsenal)


   Arsene Wenger anasema kuna masomo ya kujifunza kutoka kwa kushindwa jana kwa Man United. Arsenal ilipoteza  mchezo wake wa jana  ilipoingia uwanjani kwa kuwa na rekodi  nzuri ya kuongoza ligi  kuu ya  Uingereza .
         Hata  hivyo  kocha  huyo  amesema kuwa  kikosi  chake  kilijiandaa vyema ila mchezo huo ulikuwa mgumu kwao na amewataka wachezaji wake kuongeza bidii ili kuongeza kuendelea kuongoza ligi hiyo  yenye mashabiki wengi duniani. 
   Na Deo Amon.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.