TEMBELEA

www.deoamon.blogspot.com

Jumatatu, 11 Novemba 2013

KASEJA AWASUSIA SIMBA ATUA JANGWANI






        Golkipa  aliyekuwa nambari moja nchini Tanzania , Juma Kaseja Juma  amekubali kusaini mkataba na timu yake ya zamani Dar Young African ya jijini  Dar es salaam na kuikataa ofa ya timu yake aliyoichezea  msimu uliopita Simba Sport Club nao ya jijini  Dar es salaam.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.