TEMBELEA

www.deoamon.blogspot.com

Jumanne, 29 Oktoba 2013

 NAIBU WAZIRI WA NISHATI STEPHEN MASSELE AKIFUNGUA MAONYESHO YA MADINI MKOANI ARUSHA..

29/10/2013

11:43 pm


             Naibu Waziri wa Madini,Stephen Massele akiwasili kwenye hoteli ya Mount Meru jijini Arusha
                 Naibu Waziri wa Madini,Stephen Masele akihutubia wadau wa madini leo kwenye hoteli ya Mount Meru jijini Arusha
 Wadu wa sekta ya madini kutoka ndani na nje ya nchi wakifatilia hotuba ya Naibu Waziri Masele

  Naibu Waziri wa Madini,Stephen Massele(kulia) akizungumza na mfanyabiashara madini nchini,Dk Anthony Frisby katika  hoteli ya Mount Meru jijini   Arusha .
baadhi  ya wafanyabiashara  wakiangalia madini katika maonyesho  ya madini  yaliyofanyika mkoani  arusha.
  Naibu Waziri wa Madini,Stephen Massele akimsikiliza Mwenyeikiti wa TAMIDA,Sammy Mollel
Haya  ni  madini  ya  Tanzanite yanayopatikana Mererani (arusha)

 Na; www.deoamon.blogspot.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.