TEMBELEA

www.deoamon.blogspot.com

Jumanne, 29 Oktoba 2013

POLISI  WAKABIDHIWA  JENGO  JIPYA   LA  KITUO CHA POLISI KISEKE, JIJINI MWANZA.
       30/10/2013

              Kaimu  mkurugenzi  wa  PPF  William  Erio( kushoto)akishirikiana  na  kaimu  mkuu wa  mkoa  wa  Mwanza Ndaro Kurwjila ( wa pili kulia) kufunua kitambaa ikiwa  ni  ishara  ya  uzinduzi  wa  jengo la  kituo  cha  polisi kijiji  cha  Kiseke, mkoani  mwanza.
Kaimu  mkuu wa  mkoa  wa  Mwanza  Ndaro Kurwijila (wa pili kulia) kwa  niaba  ya  mfuko  wa pensheni  wa  PPF akipeana  mkono  na  kaimu kamanda wa  polisi  mkoa  wa  Mwanza Joseph Konyo, ikiwa  ni  ishara  ya  kumkabidhi  jengo hilo.
Kamanda  wa  polisi  wilaya  ya  Ilemela  jijini  Mwanza  (OCD) , Deborah Magiliginda (Aliyesimama)  akitoa  hotuba  ya  shukrani  mara  baada  ya  kukabidhiwa  jengo la  kituo  cha polisi  cha  Kiseke na  PPF , mkoani  Mwanza.
Baadhi  ya  polisi  na  wananchi wa  wilaya  ya  Ilemela  mkoani  Mwanza  wakifurahia  baada  ya  kukabidhiwa jengo  hilo, mkoani  mwanza.
Jengo  la  kituo  cha  polisi PPF kiseke kilichopo wilayani  Ilemela mkoa  wa mwanza kilichokabidhiwa jana na  uongozi wa PPF wa  mkoa  huo.
  Picha  ya  pamoja baada  ya  shughuli  nzima  ya makabidhiano na  uzinduzi wa jengo  hilo mkoani  Mwanza.

Habari  picha na ; deoamon.blogspot.com



 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.