TEMBELEA

www.deoamon.blogspot.com

Jumanne, 29 Oktoba 2013

                                 MBUNGE ATANGAZA VITA KWA WANAOMCHAFUA.
                                            Mbunge  wa Arusha  mjini , Bw, Godbless  Lema.

  Mbunge  wa  Arusha  mjini Bw, Godbless  Lema amesema kuwa hatakuwa tayari kumvumilia mtu anayemchafua katika mitandao ya simu nchini.
           Lema amesema kuwa  atatumia gharama zozote na kwa njia  yoyote ili kumkamata mtu  anayemchafua na kukichafua chama cha demokrasisa na maendeleo.Mpaka sasa Mh, Lema amewasili bungeni jana kwa ajili  ya  kuendelea  na  kikao  cha  bunge  kilichoanza  jana  mjini  Dodoma.

Habari  picha  na  deoamon.blogspot.com (dodoma)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.